Shirikisho la Soka Duniani FIFA limethibitisha rasmi litatumia teknolojia ya kutambua iwapo mpira umevuka mstari na kuwa goli kwenye Mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika nchini Brazil mwa 2014. Tangazo hilo la FIFA limekuja baada ya kuona mafanikio
Tunaishi kwenye dunia ambayo imetawaliwa na vifaaa vya kisasa vya kieletroniki. Kwa sasa hivi dunia nzima imetikiswa na kusambaa kwa simu za mikononi zinazoitwa 'smart phones'.
Smartphones ni aina za simu za mikononi zilizounganishwa
na mfumo wa uendeshaji wa simu ukiwa umeongezewa na
Kampuni ya simu ya TTCL imeibuka na simu yao ya kisasa (Smartphone) ili kukimbizana na soko la simu za mikononi. Si mara ya kwanza kampuni hii inayokula pesa nyingine kutoka kwa walala hoi watanzania kwani walishawahi kuibuka na simu za mikononi
Ni kawaida sasa hivi kwenye redio kusikia matangazo ya lumia, samsung galaxies zinazidi kushika kasi, techno wanakomba soko la tanzania na huawei nyingi za tigo zinazidi kusambaa. Yote haya oyanaweza kukuchanganya na kufanya usifanye uamuzi sahihi wakati
Ni kitu kisicho cha kawaida ila kampuni ya magari,Benz kwa kushirikiana na wanaSayansi kutoka chuo Kikuyu cha Tokyo, wapo katika mchakato wa kutengeneza gari isiyoonekana(invisible car).Kwa mujibu wa chanzo cha habari,gari hii siyo kwamba haionekani kweli lakini